• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ujenzi wa shule mpya ya Azimio kupitia mradi wa BOOST waongeza hamasa ya uandikishaji darasa la awali na la kwanza 2024.

Tarehe iliyowekwa: January 8th, 2024

Na. Lina Sanga

Taarifa hiyo imetolewa leo na Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Azimio ,Mwl. Maisha Mhapa wakati akiwasilisha taarifa ya wanafunzi walioripoti shuleni hapo baada ya shule kufungua rasmi leo kwa ajili ya kuanza mwaka mpya wa masomo 2024.

Mwl. Mhapa amesema kuwa,shule ya Azimio imevuka lengo la uandikishaji wa wanafunzi wa darasa  la awali na darasa la kwanza mwaka huu,na kusababisha ongezeko la wanafunzi kwa asilimia 4 tofauti na idadi kwa mwaka 2023.

Amebainisha kuwa, maoteo ya uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali kwa mwaka 2024 ilikuwa wanafunzi 19,wasichana 10 na wavulana 9 na hadi leo jumla ya wanafunzi 56 wameandikishwa kuanza darasa la awali wasichana 32 na wavulana 24 sawa na asilimia 294.5 ya lengo.

Aidha ameongeza kuwa, maoteo ya uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la kwanza kwa mwaka 2024 ilikuwa ni wanafunzi 121,wavulana 58 na wasichana 63 na hadi leo jumla ya wanafunzi 131 wameandikishwa kuanza darasa la kwanza katika shule hiyo wasichana 69 na wavulana 62 sawa na asilimia 108 ya lengo.

Amesema kuwa, ongezeko hilo la wanafunzi limetokana na elimu bila malipo,kuondolewa kwa michango isiyo ya lazima pamoja na ujenzi wa miundombinu mipya ya shule hiyo, kupitia mradi wa BOOST kwani kupitia wazazi wengi wamehamasika kuwaandikisha watoto katika shule hiyo,tofauti na miaka iliyopita,kutokana na uchakavu wa miundombinu.

Ametoa wito kwa wazazi na jamii kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kuanza shule ,wanaandikishwa  ikiwa ni pamoja na watoto wenye ulemavu kwani wana haki ya kupata elimu.

Ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha zilizotekeleza ujenzi wa shule mpya ya Azimio.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa