• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ukaguzi wa jengo la kutolea huduma ya vipimo na tiba(CTC)

Tarehe iliyowekwa: February 28th, 2022

Na. Lina Sanga

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Uratibu na Bunge,Mhe.Balozi Dkt.Pindi Chana(Mb) amepongeza ujenzi wa jengo la kutolea huduma ya vipimo na tiba kwa watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (CTC),katika kituo cha afya Cha Makambako.

Mhe. Chana amesema kuwa kwa sasa jukumu lililobaki ni kuwajulisha wananchi juu ya uwepo wa jengo hilo,katika kituo cha afya makambako ili waweze kupata huduma hiyo na kuwa zinatolewa muda wote pasipo malipo.

“Kuwa na kituo ni kitu kimoja na kukitumia ipasavo ni kitu kingine, wanahabari mnapaswa kuendelea kuwahabarisha wananchi kwamba kituo hiki kipo,pia kuanzia tarehe nane, wahudumu wa afya nyinyi ndiyo mtakaoendelea kuhubiri juu ya uwepo wa kituo hiki,na huduma zake kwa mujibu wa maelekezo na sera yetu ya afya kwamba huduma hizi zinatolewa pasipo malipo na zinatolewa muda wote kwani magari ya masafa marefu yanapita muda wote”,alisema Dkt. Chana.

Pia ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa sababu kupitia yeye, dhamira ya dhati ya Serikali ya Tanzania inaonekana ya kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya afya na maeneo mengine katika Nchi.

Aidha,Dkt. Pindi amempongeza meneja wa TANROADS mkoa wa Njombe kwa jitihada mbalimbali anazofanya katika utekelezaji wa majukumu yake,ikiwa ni pamoja na kusimamia ujenzi wa madaraja yaliyobomoka wilaya ya Ludewa kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha,kwa kuhakikisha madaraja yanakamilika ili matumizi ya barabara yaendelee.

Mwisho ametoa wito kwa wananchi wote kuzitumia huduma zinazotolewa na kituo hicho cha CTC,kwani kutambua afya  ni vizuri na kuchukua tahadhari.

Mhe. Pindi Chana (Mb) amefanya ukaguzi wa jengo la CTC lililopo katika kituo cha afya Makambako leo,ambalo limejengwa na TANROADS Mkoa wa Njombe ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ujenzi wa Barabara kuu inayounganisha Mkoa wa Iringa,Njombe na Mbeya na Nchi jirani kama Zambia na Malawi.

Ujenzi wa jengo hilo umekamilika kwa asilimia mia moja na limegharimu jumla ya shilingi Mil.252.8,na makabidhiano ya jengo hilo kati ya TANROADS na Uongozi wa Halmashauri ya Mji Makambako unatarajiwa kufanyika machi 8,2022.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa