• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

UKAGUZI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO ULIOFANYWA KAMATI YA SIASA YA WILAYA YA NJOMBE .

Tarehe iliyowekwa: June 23rd, 2021

Katika picha ni kamati ya siasa ya wilaya ya Njombe wakiwa katika zoezi zima la ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kwa Halmashauri ya Mji wa Makambako ,kamati ambayo imeongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya Siasa Wilaya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe Bwana Edward Mgaya na timu nzima ya kamati ya Siasa ya Wilaya ya Njombe.

 Miongoni mwa miradi ambayo imekaguliwa na kamati ya siasa Wilaya ni pamoja na Jengo lenye vyumba vya Madarasa Mawili katika Shule ya Msingi Magegele na Matundu kumi na mbili ya vyoo ambayo yanaendelea kujengwa kwa gharama ya shilingi Milion Hamsini na tatu(53,000,000) fedha ambazo zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi mwingine ni katika shule ya Sekondari Deo Sanga ambapo vyumba vya Madarasa viwili vinaendelea kujengwa pamoja na Maabara ya somo la Kemia ili tu kuongeza tija ya ufaulu wa Wanafunzi hasa katika masomo ya sayansi kwa ujumla wake ,vyote hivyo vimegharimu tasrimu fedha za kitanzia shilingi Milion sabini (70,000,000) na zote zimetolewa na Serikali.

Ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Kipagamo pia umetembelewa na kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe ambapo jengo hilo linajengwa kwa nguvu za wanaNchi na Halmshauri ya Mji wa Makambako.

Kamati ya siasa Wilaya pia imetembelea mradi wa Zahanati ya Nyamande iiyopo kata ya Kitandililo na kuona mafundi wakiendelea na ujenzi wa zahanati hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na kuwasaidia wanaNchi kupata huduma mapema huku kamati ya siasa ikiridhishwa na kasi ya ujenzi wa zahanati hiyo,katika ujenzi huo takribani fedha za kitanzania Shilingi  Milion Hamsini (50,000,000) zinaendelea kutumika katika ujenzi huo.Wakati huo zoezi la kukagua wodi katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Makambako yenye hadhi ya wilaya iliyopo Mlowa nayo imetizamwa na kamati ya Siasa wilaya ambapo takribani wodi mbili zinaendelea kujengwa katika Hospitali hiyo kwa gharama za Serikali na takribani Shilingi Bilion ishirini na tatu zimetolewa na Serikali kwa ujenzi huo yote haya ni lengo la serikali ni kuweka sekta ya afya katika Mandhari yenye weledi mkubwa na makini.

Akihitimsha tadhimini ya zoezi la ukaguzi wa miradi hiyo Mwenyekiti wa kamati ya siasa wilaya ya Njombe Bwana Edward Mgaya na timu nzima ya kamati ya Siasa Wilaya kwapamoja wamesema hali ya utekelezaji wa miradi ya Halmashauri ya Mji wa Makambako ni kubwa na inaridhisha kwa kuwa ubora wa majengo yaliyopo yanaendana na dhamani ya pesa inayotolewa hivyo ni vema matumizi ya fedha hizo yakawa mazuri na makini ili kuepuka dosari pindi majengo hayo yanapogauliwa mara baada ya kumalizika ujenzi wake, Lakini pia jambo la kutunza majengo hayo ili yaweze kutumika na hapo baadae limesisitizwa sana na kamati hiyo maana yake utangulizwe UZALENDO katika miradi hiyo ili itufae na hapo baadae.   

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa