• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ungeni mkono jitihada za Rais Samia,kwa kulipia gharama za urasimishaji wa ardhi.

Tarehe iliyowekwa: May 30th, 2024

Na. Lina Sanga

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Kenneth Haule amewataka wananchi wote ambao maeneo yao hayajapimwa, kuunga mkono jitihada za Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania  ya kupunguza gharama za urasimishaji ili wananchi wote hadi wa hali ya chini wapimiwe maeneo yao.

Haule ametoa wito huo leo katika Mtaa wa Mlando mara baada ya wananchi kuibua  hoja ya  kusuasua kwa baadhi ya wananchi kulipa   gharama za urasimishaji kwa madai ya kusubiri zoezi hilo lianze kutekelezwa ndipo walipe,kwa kuhofiwa kudhulumiwa fedha na Serikali.

Amesema kuwa ,kuchelewa kwa utekelezaji wa zoezi hilo ni kutokana na masuala mbalimbali ya kiutendaji na maagizo ya wizara ya ardhi ya namna ya kutekeleza zoezi hilo, ikiwa ni pamoja suala la  gharama ili kila mwananchi apate fursa ya kupimiwa kipande cha ardhi anayomiliki na kupata hati ambapo awali zoezi hilo lilitekelezwa kwa gharama tofauti tofauti kuanzia  300,000 hadi 250,000 na kwa sasa Serikali imepunguza gharama hadi 130,000 ili wananchi wa hali ya chini waweze kumudu na kurasimishiwa ardhi zao.

"Ndugu zangu Serikali inapoleta jambo jitahidi kulifanya kwa wakati ili kupata huduma kwa gharama ndogo,mkumbuke gharama ya kuunganishiwa umeme ilishushwa hadi sh. 27,000 kuna watu waliounganisha na kuna wale waliojivutavuta hadi leo hawajaingiza umeme kutokana na gharama kuongezwa,ndivyo itavyokuwa kwenye zoezi hili na mimi kama mkurugenzi pamoja na watumishi wangu tumekuja kunawa mikono maana mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi", alisema Haule.

Ametoa wito kwa wananchi ambao wamepanga kusubiri kazi ya urasimishaji ianze ndipo walipie,kuanza kulipia gharama hizo ndani ya muda uliopangwa kwani kazi haiwezi kuanza bila ya fedha kuingizwa kwenye akaunti na kila mwananchi ana wajibu wa kuchangia fedha hizo kwani urasimishaji ni takwa la kisheria.

Naye, Obert Sigala Mkazi wa Mtaa wa Mlando, ametoa rai kwa Mkurugenzi kuendelea na zoezi la urasimishaji kwa watakaolipa ndani ya muda husika, kwani baadhi ya watu wana tabia ya ukaidi hadi itumike nguvu.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa