• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Uongozi ngazi ya Kata,Mitaa na Vijiji watakiwa kuwa na hati miliki maeneo ya huduma za kijamii.

Tarehe iliyowekwa: July 25th, 2024

Na. Lina Sanga

Uongozi ngazi ya Kata,Mitaa na Vijiji umetakiwa kuhakikisha maeneo yote ya huduma za jamii yanapimwa na kuwa na hati miliki ili kuepuka migogoro ya ardhi.

Rai hiyo imetolewa leo na wajumbe wa Kamati ya fedha na uongozi katika ziara ya kamati hiyo ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha kuishia robo ya nne kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Mhe. Hanana Mfikwa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uongozi amesema kuwa, uongozi wa Kata, Mitaa na Vijiji wanawajibu wa kuanzisha michakato ya kupata hati miliki ya maeneo ya huduma za kijamii kama vile shule,zahanati na vituo vya Afya ili kuepuka migogoro ya ardhi kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi kupitia wataalamu wa idara ya Ardhi.

Aidha, ametoa rai kwa walimu kusimamia ulinzi wa miundombinu inayojengwa kwa kuhakikisha marekebisho yanafanyika pindi wanafunzi wanavyovunja vioo au madawati kwa kushirikiana na wazazi ili miundombinu hiyo itumike muda mrefu.

Pia, amewapongeza wananchi kwa kujitoa kushiriki kwenye shughuli za ujenzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye maeneo yao,ikiwa ni pamoja na usimamizi na umiliki wa miradi kwa kufuatilia kila hatua ya utekelezaji.

Kamati ya fedha na uongozi leo imetembelea miradi mitano ambayo ni ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mawande Kata ya utengule,Ujenzi wa nyumba pacha ya walimu katika shule ya msingi Deo Sanga katika Kata ya Mahongole,ujenzi wa bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari Kitandililo,Kata ya Kitandililo na ujenzi wa jengo la utawala shule ya sekondari Kitisi katika Kata ya Kitisi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa