• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi 2020-2025 Bil. 63.4 zapokelewa na Mbunge atoa zaidi ya mil. 426

Tarehe iliyowekwa: April 13th, 2023

Na. Lina Sanga

Katika kuadhimisha miaka miwili ya Mbunge wa jimbo la Makambako ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Mkoa wa Njombe,Mhe. Deo Sanga imeelezwa kuwa  amechangia  zaidi ya shilingi milioni 426 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma za kijamii ndani na nje ya jimbo la Makambako. 

Hayo yamebainishwa katika mkutano wa kuwasilisha  taarifa ya utekelezaji wa ilani ya mwaka 2020-2025 , kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia julai 2020/2021 hadi februari 2022/2023,uliofanyika leo  katika ukumbi wa greeb city Makambako.

Mhe. Sanga amesema kuwa fedha hizo anazotoa katika kuchangia maendeleo ni fedha ambazo huzitoa  ngazi ya Kata,Mtaa na Kijiji baada ya kupokea maombi yao na fedha zingine ni  gharama za shule za watoto wenye uhitaji,taasisi za dini na mwananchi mmoja mmoja ambao hufika nyumbani kwake kuomba msaada. 

Amewataka wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na madiwani ili kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ubora unaotakiwa.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Makambako ,Kenneth Haule amesema kuwa katika kipindi cha miaka miwili, Halmashauri imepokea kiasi cha shilingi bilioni 63.4 ambapo bilioni 1 zimeelekezwa kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na zingine kwa ajili ya malipo ya mishahara ya watumishi na matumizi mengine.

Wakati huo huo,Mhe. Anthony Mtaka, Mkuu wa Mkoa wa Njombe amempongeza  Mbunge wa jimbo la Makambako,kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa na kuchangia ujenzi wa vituo vya afya.

Ametoa rai kwa wananchi kuthamini uwepo wa mbunge huyo,kwani mambo anayoyafanya katika jimbo lake ni tofauti na Wabunge wengine.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Njombe,Mhe. Justine Nusulupila Sanga ametoa rai kwa Serikali kuwapa haki ya umiliki wa miradi viongozi wa chama kuanzia ngazi ya tawi ili waweze kusimamia miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa