• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Vijana wakombolewe kifikra , ili Kuendana na miaka 61 ya Uhuru.

Tarehe iliyowekwa: December 11th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe

Wito huo umetolewa na William Sapula,Mwanafunzi wa chuo cha Mgao training institute kilichopo Mkoani Njombe,katika kongamano la kujadili maendeleo endelevu ya Wilaya ya Njombe na Taifa kwa ujumla katika maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika desemba 9,2022 ukumbi wa Njombe Sekondari.

William amebainisha kuwa,kutokana na vijana kutokombolewa kifikra wanazidi kuchanganyikiwa na kuishia kufanya mambo yaliyo nje ya maadili ya Kitanzania,hali inayoashiria kutoweka kwa Uhuru uliopo kutokana na kukosekana kwa ukombozi wa kifikra kwa vijana kuanzia ngazi ya familia na taifa.

“Kukosekana kwa ukombozi wa fikra za vijana ni sababu kuu ya vijana kukosa maadili ikiwa ni pamoja na uvaaji wa mavazi  yasiyo  na maadili,na wazazi na Serikali hawana muda wa kuweka mikakati ya ukombozi wa fikra za vijana mwisho wa siku  vijana wanajikita sana kwenye fasheni za maisha na sio kutafakari Uhuru uliopiganiwa miaka 61 iliyopita na kuweka mikakati ya kimaisha kuendana na maadhimisho haya ya Uhuru wa nchi yetu hali inayosababisha,vijana kukosa uzalendo kwa taifa lao kwa sababu wamechanganyikiwa kiakili na wamepoteza muelekeo”,alisem William.

Ametoa wito kwa wazazi,walezi na Serikali kuweka mikakati ya kubadili na kuzikomboa fikra za  vijana nchini,ili kuendana na miaka 61 ya Uhuru na sio kuweka mikakati katika maboresho ya miundombinu pekee.

Bi. Judica Omari,Katibu Tawala Mkoa ametoa pongezi kwa washiriki wa kongamano hilo la kujadili maendeleo endelevu ya Wilaya ya Njombe na taifa kwa ujumla,na kuahidi kufanyia kazi suala la ukombozi wa fikra za vijana ili kuendana na miaka 61 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Aidha,ametoa shukurani kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongezwa na Rais Samia Suluhu Hassan,kwa kutoa fedha za ujenzi wa bweni  la wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu shule ya Msingi Idofi,iliyopo katika Halmashauri ya Mji Makambako.

Jumla ya Mil. 960  ambazo zilitengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru kwa mwaka huu,Serikali iliagiza zitumike kwa ujenzi wa mabweni ya watoto wenye mahitaji maalumu katika Mikoa tisa ikiwamo Mkoa wa Njombe.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa