• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kupata huduma za afya ya uzazi

Tarehe iliyowekwa: August 19th, 2022

Na. Lina Sanga

Viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kupata huduma za afya ya uzazi,kwani hata wataalamu wa afya wamepewa vipawa hivyo na Mungu kwa ajili ya kuwasaidia wanadamu.

Rai hiyo imetolewa na Joynetta Saria,Afisa jamii hospitali ya Marie Stopes katika kikao cha MTAKUWA kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji Makambako,kwa ajili ya  kupokea mrejesho wa shughuli za uelimishaji masuala ya ukatili na afya ya uzazi,zilizofanyika agosti 16,mwaka huu kupitia ushirikiano wa shirika la JEUMA na hospitali ya Marie Stopes Makambako.

Saria amesema kuwa baadhi ya viongozi wa dini  huwashawishi waumini wao kutohudhuria kliniki za masuala ya afya ya uzazi na kujiunga na huduma hizo,kwa madai ya kuwaombea hali inayosababisha  ongezeko la vifo kutokana na uzazi.

Naye,Afande Happy Edward kutoka ofisi ya dawati linaloshughulikia masuala ya unyanyasaji na ukatili wa kijinsia kutoka kituo cha polisi Makambako ametoa wito kwa viongozi wa dini kuwaelewesha vizuri waumini wao juu ya maandiko mbalimbali kutoka kwenye vitabu vitakatifu,ili waweze kutafsiri maandiko hayo ipasavyo na kuepuka kuyatumia kutekeleza ukatili kwa wengine.

Afande Happy amesema kuwa,baadhi ya wanaume hutumia neon la mwanaume ni kichwa cha familia lililopo katika biblia,kuwanyanyasa na kuwakatili wake zao hali inayosababisha kuongezeka kwa matukio ya ukatili wa wanawake na watoto.

Naye,Afande Manyumba Edward ametoa rai kwa viongozi wa dini na jamii kurejea nyakati za zamani kwa kufuata misingi ya dini ipasavyo,ili kuwawezesha watoto kukua katika maadili ya dini zao ili kutokomeza vitendo vya kikatili katika familia na jamii kwa ujumla.

Afande Manyumba amesema kuwa,shule za jumapili katika ibada (Sunday school) na madrasa kwa upande wa dini ya kiislamu husaidia kumkuza mtoto katika maadili ya dini,kumfundisha namna ya kuishi kwa kujijali mwenyewe na kuwajali wengine pamoja na kuwa na upendo na wengine,hali inayomsaidia mtoto kuepuka kujiingiza katika vitendo visivyofaa katika jamii.

MTAKUWA ni ufupisho wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto nchini Tanzania.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa