• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Viongozi wa Vikundi vya Wanawake na Vijana tunzeni uaminifu wenu.

Tarehe iliyowekwa: January 23rd, 2023

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa na Afisa Maendeleo ya jamii Halmashauri ya Mji Makambako,Kassim Mamba katika Mafunzo ya kabla ya Mkopo yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Makambako leo.

Bw. Kassim amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa vikundi wamekuwa na tabia ya kutowajulisha wana kikundi wengine kuhusu  fedha ya mkopo waliyoomba kuingizwa kwenye akaunti ya kikundi, na kudiriki kugawana mikopo hiyo wenyewe na kuibua malalamiko kwa  wana kikundi dhidi ya Halmashauri kutowapatia mkopo.

Amesema kuwa, ipo haja ya viongozi kujitahidi kuwa  waaminifu kwa  wanavikundi wote, ili kila mmoja anufaike na mkopo kama maombi yalivyowasilishwa na kuhakikisha marejesho yanafanyika kwa wakati ili vikundi vingine vinufaike pia.

Awali akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bi. Appia Mayemba amewataka wanufaika wote wa mikopo kutumia fedha hizo kufanikisha malengo waliyokusudia ili waweze kupata faida na kurejesha mikopo kwa wakati badala ya kutumia katika vitu ambavyo haviwezi kuzalisha chochote.

Katika mafunzo hayo wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 wamepata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na masuala ya kilimo,ufugaji,lishe,afya,biashara,viwanda na uwekezaji pamoja na elimu ya fedha iliyowasilishwa na afisa mauzo wa benki ya NMB,Winfrida Mghamba.

Jumla ya Mil. 76 zimetolewa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 , ambapo jumla ya vikundi vya Wanawake 9, Vijana 3 na watu wenye ulemavu 8 wamepata mikopo katika kipindi cha robo ya pili katika mwaka wa fedha 2022/2023.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023-Halmashauri ya Mji Makambako. December 14, 2022
  • Tangazo la ajira Halmashauri ya Mji Makambako Juni,2022 June 28, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Wasimamizi, Maafisa TEHAMA na Makarani wa Zoezi la Sensa, Makambako TC July 18, 2022
  • Matokeo ya usaili wa mahojiano kwa nafasi ya Mtekinolojia dawa daraja II November 25, 2022
  • Fungua

Habari Mpya

  • Miche 20,000 ya parachichi kutolewa kwa wanufaika wa TASAF - Halmashauri ya Mji Makambako.

    January 24, 2023
  • Halmashauri ya Mji Makambako yatoa mil. 76 mikopo ya 10% kwa vikundi 12 vya wanawake na vijana na watu 8 wenye ulemavu.

    January 23, 2023
  • Wilaya ya Njombe kukusanya mapato 100% ifikapo Juni,2023.

    January 23, 2023
  • Viongozi wa Vikundi vya Wanawake na Vijana tunzeni uaminifu wenu.

    January 23, 2023
  • Fungua

Video

TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Tuitumie kwa Usahihi na Uwajibikaji . Makambako TC, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa