• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Vituo vya kulelea watoto na shule za chekechea kikwazo cha uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali.

Tarehe iliyowekwa: January 3rd, 2024

Na. Lina Sanga

Wazazi wenye watoto wenye umri wa kuanza darasa la awali wametakiwa kuwaandikisha watoto hao kwenye shule rasmi ,badala ya kuwaandikisha kwenye vituo vya kulelea watoto na shule za chekechea  ambazo ni rasmi kwa ajili ya watoto walio chini ya umri wa miaka minne.

Wito huo umetolewa leo na Mwl. Erasto Nyagawa, Afisa elimu vifaa na takwimu wa Halmashauri ya Mji Makambako wakati akitoa takwimu za uandikishaji wa wanafunzi wanaotarajia kuanza masomo ya  darasa la awali na la kwanza mwaka huu, ikiwa zimebaki siku nne za kuanza rasmi muhula wa masomo kwa mwaka 2024.

Mwl. Nyagawa amesema kuwa,zoezi la uandikishaji katika shule za msingi zilizopo  Halmashauri ya Mji Makambako linaendelea na hadi kufikia leo  januari mosi, jumla ya wanafunzi wa 2,253 wa darasa la awali wameandikishwa ,wavulana 1,123 na wasichana ni 1,130 ikiwa ni sawa na asilimia 55 na wanafunzi wa darasa la kwanza walioandikishwa ni 3,793 ambapo wavulana ni 1.878 na wasichana ni 1,915 sawa na asilimia 96.

Amesema  kuwa,uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali asilimia yake ni ndogo kutokana na changamoto ya baadhi ya wamiliki wa vituo vya kulelea watoto na shule za chekechea kupokea wanafunzi wenye umri wa miaka 4 hadi 5 ambao wanatakiwa kuanza darasa la awali na baadhi ya wazazi kuwapeleka watoto hao kwenye vituo hivyo ili kupata urahisi wa malezi ya watoto hasa kwa maeneo ya Mjini.

Ametoa rai kwa wazazi ambao bado hawajawaandikisha watoto kufika katika shule zilizo karibu na maeneo yao ,kwani elimu ni haki ya  kila mtoto aliyefikia umri wa kuanza masomo na  zoezi la uandikishaji linaendelea hadi machi 31,2024.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa