• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wabunge Mkoani Njombe,watoa agizo kwa TARURA Mkoa wa Njombe.

Tarehe iliyowekwa: October 20th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe

Wabunge wa Mkoa wa Njombe wametoa rai kwa Wakala wa barabara Vijijini (TARURA), kushughulikia maeneo korofi katika barabara zinazotarajiwa kufanyiwa matengenezo kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ili ziweze kupitika kwa mwaka mzima.

Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Lupembe,Mhe. Edwin Swalle kwa niaba ya wabunge wote wa majimbo ya Mkoa wa Njombe,katika kikao cha utiaji saini mikataba ya matengenezo na ukarabati wa barabara na ujenzi wa madaraja,kwa mwaka wa fedha 2022/2023,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Mhe. Swalle amesema kuwa,wabunge kwa pamoja wametoa rai hiyo kwani mkoa wa Njombe ni Mkoa wa Mvua,TARURA wanaweza jenga barabara yenye urefu wa kilomita 10 au 20,lakini eneo korofi linalofanya barabara hiyo isipitike kwa mwaka mzima halifanyiwi matengenezo kwa kuwa halipo katika bajeti husika.

Amesema kuwa,dhamira ya Mhe.Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuongeza bajeti ya barabara ni kujenga barabara,ili ziweze kupitika kwa mwaka mzima na wananchi waweze kusafirisha mazao kwenda sokoni,kusafirisha wagonjwa na huduma kwa wananchi.

Naye,Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Njombe,ametoa rai kwa wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya ujenzi,kulipa kodi kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla,kwani fedha zinazokusanywa na mamlaka hiyo ndiyo zinatumika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya Mkoa na taifa kwa ujumla.

Kenneth Haule,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako,kwa niaba ya Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji na Wilaya za Mkoa wa Njombe ametoa rai kwa Wakala wa barabara Vijijini (TARURA),kuweka utaratibu mzuri katika mfumo wa malipo ili wakandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara katika Halmashauri waweze kulipa kodi ya huduma ili kuongeza mapato ya Halmashauri.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa