• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

WADAU WA ELIMU WAKABIDHI MIFUKO YA SEMENT MAKAMBAKO.

Tarehe iliyowekwa: June 22nd, 2021

Ni Picha ya pamoja  katika zoezi la kupokea Mifuko ya Cement takribani Arobaini,iliyotolewa na Umoja wa Vikundi vinavyolea watoto wadogo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako (UWAVIKUWAMA),

Zoezi hilo limefanyika katika Halmashauri ya Mji wa Makambako ambapo na Rasmi katika zoezi hilo ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Ndg Hanana Mfikwa ambapo amesema Makambako itajengwa na wana Makambako wenyewe " Ni jambo zuri na jema kujitoa kwaajili ya Halmashauri yetu kwani uwepo wa vituo hivi umetoa Ajira kwa vijana wengi katika Halmashauri yetu na pia inaongeza uchumi kwa waajiriwa  lakini uwepo wa vituo hivi unasaidia kupunguza masuala ya ukatili Majumbani hasa kwa wazazi ambao hawana wasaidizi wa karibu kwa watoto wao.

Mifuko hiyo imetolewa na kuelekezwa kufanya kazi katika Shule shikizi Maguvani kata ya Maguvani ,Shule ya Msingi kwauchungu ,Shule Shikizi ya Mfumbi na Shule ya Msingi Maendeleo ,aidha Matumizi ya Mifuko hiyo ni pamoja na kusaidia Ujenzi wa Madarasa ,ofisi za walimu na ujenzi wa matundu ya vyooo.

Katika Risala umoja huo wameeleza lengo lao kujitoa hasa katika Maendeleo ya Elimu kwa watoto wadogo Halmashauri ya Mji wa Makambako na kuwasaidia Wazazi wa Makambako katika kupiga vita suala la ukatili kwa watoto wajumbani kwani Umoja huo kwa sasa unawatoto takribani zaidi ya 2000 kwa Halmashauri ya Mji wa Makambako.

 Naye afisa ustawi wa jamii Halmashauri ya Mji wa Makambako Bwana Regis Ng'itu kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii amesema kuwa wamejipanga vizuri kufanya kazi na Umoja huo hasa kwa kufuata sheria za Nchi katika masuala mazima ya ulinzi na usalama wa watoto kwa kufuata taratibu husikaAkihitimisha zoezi hilo Mkurugenzi wa Halmashauri ya ,Mji wa Makambako Paulo Malala, Amesema kuwa zoezi hilo ni jema kwani kutoa cement mifuko takribani Arobaini tayari wamechangia sekta ya Elimu hivyo kama kuna wadau wengine wenye nia njema na Halmashauri ya Mji wa Makambako wajitokeze kwani tupo kwaajili ya kazi na Maendeleo ya Tanzania na amewashukuru kwa Kujitoa kwao na kuahidi mifuko hiyo itafika mahala husika kwa kazi husika na kwa wakati husika.


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa