• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wakurugenzi wa mamlaka za Maji toeni maji kama huduma acheni kuwabambikia wananchi bili za maji

Tarehe iliyowekwa: August 10th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Maji,Mhe. Jumaa Aweso alipokuwa akitoa salamu kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan Katika Mkutano wa  hadhara uliofanyika leo Mkoani Njombe.

Mhe. Aweso amesema kuwa huduma ya maji sio biashara bali ni huduma,hivyo Wakurugenzi wa Mamlaka za Maji watoe Maji kwa maana ya  huduma na sio kuwabambikizia wananchi bili za maji,kwani maji ni usalama  wa taifa  ukiwa na maji toshelezi uhakika wa usalama wa chakula,nishati na usalama wa ndoa unakuwepo,Wizara ya Maji itahakikisha usalama wa ndoa za kina Mama.

Mhe. Aweso amesema kuwa miaka ya nyuma  Serikali iliwekeza fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa Miradi ya Maji lakini matokeo hakuna na ilionekana ni kawaida,lakini pia  wananchi wanaoishi vijijini kukosa maji na kunywa maji pamoja na mifugo ilionekana ni kawaida,lakini sasa miradi mikubwa ya maji imejengwa hadi vijijini na Wizara ya Maji iliyokuwa ni Wizara ya Kero na lawama hivi  sasa imekuwa Wizara ya utatuzi.

Ameongeza kuwa Wizara ya maji haijaajiri vibaka kutekeleza miradi ya maji,bali imeajiri wataalamu ili kuhakikisha watanzania wote wanapata maji safi na salama.

"Mhe. Rais tukuhakikishie Wizara Ya Maji haijaajiri vibaka,Wizara imeajiri wataalamu tutahakikisha  watanzania wanaoishi Mijijini na Vijijini wanapata maji safi na salama",alisema Mhe. Aweso.

Pia,amesema kuwa moja ya changamoto kubwa ni miradi kichefuchefu katika taifa, ambapo jumla ya miradi 177 iliainishwa na baada ya kuanzishwa kwa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) jumla ya miradi 130 imeshakwamuliwa hadi kufikia  mwezi disemba miradi yote  itakamilishwa.

Mhe. Aweso amesema kuwa Wizara ya Maji imejipanga vizuri  kuendelea  kuwatua kina mama ndoo kichwani kwa kujenga miradi mikubwa ya Maji Njombe Mjini,Makambako na Wanging'ombe.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa