• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Walimu ajira mpya kumbukeni mlikotoka,acheni kuchezea kazi chezeeni mshahara- RC Mtaka

Tarehe iliyowekwa: September 12th, 2022

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka katika kikao cha uzinduzi wa mwongozo wa elimu  Mkoa wa Njombe kilichofanyika leo shule ya Msingi Mpechi.

Mhe.Mtaka amesema kuwa walimu wengi wamekuwa na kawaida ya  kutoa visingizio vya kiafya na masuala ya kifamilia ili wapewe uhamisho,hivyo kabla ya kuanza kuwasumbua Maafisa elimu na Utumishi juu ya uhamisho mtumishi hana budi kuchagua kazi au sababu ya kuomba uhamisho.

"Kuna ajira mpya wametuma maombi ya kazi zaidi ya mara tatu na kukosa,lakini baada ya kupata kazi anaanza kiguu na njia kutaka abadilishiwe kituo cha kazi au ahamishwe anasahau maombi aliyokuwa anaomba na wengine hadi waliokoka,Mungu kawasaidia kupata kazi anaanza kusumbua",alisema Mhe. Mtaka.

Amewaagiza maafisa elimu wote katika Mkoa wa Njombe kutopitisha barua zinazohusu uhamisho wa walimu wala kupokea simu za watu juu ya uhamisho wa walimu taarifa zifikishwe kwa Mkuu wa Mkoa na sio Katibu Tawala Mkoa.

"Mimi huwa sifanyi kazi na kimemo kama una ndugu unategemea atapiga simu ili ubadilishiwe kituo cha kazi,hakuna mtu atayekubadilishia kituo na sio kazi ya afisa elimu,simu yoyote afisa elimu ukipigiwa usimwambie Katibu Tawala Mkoa waambie mpigieni Mkuu wa Mkoa,ameweka zuio na hakuna mwalimu aliyekuja Njombe kwenye ajira mpya atayebadilishiwa kituo wala kuhama"alisema Mhe. Mtaka.

Ametoa wito kwa watumishi wapya kutunza kazi waliyopata, wachezee mshahara na sio kazi lakini pia kumshukuru Mungu kwa kupata ajira kwani kuna maelfu ya vijana wenye digrii  waliomba nafasi hizo  wamekosa.

Pia amesisitiza nidhamu katika maeneo ya kazi kwa walimu wapya  kuwaheshimu na kuwasikiliza walimu waliowakuta shuleni,pamoja na kujifunza na kuachana na kiburi cha digrii walizonazo,kujiepusha na  masuala ya utoro na ulevi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa