• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Walimu wakuu wa shule za awali na msingi kujengewa uwezo wa ufundishaji kwa vitendo mtaala mpya wa elimu

Tarehe iliyowekwa: January 6th, 2025

Na. Tanessa Lyimo

Walimu wakuu wa shule za awali na msingi 17 katika Halmashauri ya Mji Makambako, wanatarajia kupewa semina ya mafunzo kwa ajili ya kujengewa uwezo wa  kufundisha kwa vitendo mtaala mpya wa elimu ya awali na msingi ambao nao watawafundisha walimu wengine katika shule 57 za awali na msingi ndani ya Halmashauri ya Mji Makambako.

Hayo yameelezwa na  mwezeshaji kitaifa kutoka Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI),Mwl. Jerome Mwakifuna wakati wa semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kufundisha kwa vitendo mtaala mpya wa elimu ya awali na msingi timu ya uwezeshaji ngazi ya Halmashauri, iliyofanyika leo katika ukumbi wa shule ya Msingi Sigrid.

Mwl. Mwakifuna  amesema kuwa,  mafunzo hayo yatasaidia kuwajengea uwezo walimu  ili waweze kufundisha kutoka kwenye mfumo wa nadharia na kuweza kufundisha  kwa vitendo ili waendane na kasi na mahitaji ya dunia ya sasa yenye ushindani.


Kwa upande wake afisa elimu taaluma divisheni ya elimu ya awali na Msingi katika Halmashauri ya Mji Makambako, Mwl. Shaban Ambindwile amesema kuwa, mafunzo hayo yatawasaidia walimu pamoja na wanafunzi wanaokwenda kutumia  mfumo mpya wa Mtaala  kuanzia elimu ya awali Mpaka darasa la sita na  Halmashauri ya Mji Makambako imejipanga  vyema kuhakikisha mafunzo hayo yanawafikia walimu wote baada ya semina  hiyo kukamilika.

Naye, Mwl. Furaha Mgeni, kutoka shule ya msingi Lungwa ambaye ni mmoja kati ya  timu ya uwezeshaji ngazi ya Halmashauri amesema mafunzo hayo ni muhimu kwao, katika kuwajengea uwezo wa kuandaa Zana mbalimbali za kufundishia  hasa kwa ngazi ya awali, na kuwataka walimu wote kuyapokea mafunzo hayo  ili yawasaidie katika ufundishaji.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa