• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wananchi 180 wapata chanjo ya Uviko 19 kijiji cha Usetule na Kifumbe-Mahongole

Tarehe iliyowekwa: June 27th, 2022



Na. Lina Sanga

Zaidi ya wananchi 180 wa kijiji cha Kifumbe na Usetule,Kata ya Mahongole katika Halmashauri ya Mji Makambako,wamepata chanjo ya Uviko 19 leo,katika Mkutano wa hadhara wa Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa katika ziara ya Kijiji kwa kijiji, Mtaa kwa Mtaa iliyofanyika leo katika  Vijiji hivyo.

Mhe. Kasongwa amesema kuwa inasikitisha mpaka sasa kuna baadhi ya wananchi wanakaidi kupata chanjo ya Uviko 19,kwa madai kuwa wazungu wanataka kuwaua na kuwa chanjo hiyo inasababisha upungufu wa nguvu za kiume.

Amesema kuwa asilimia kubwa ya vitu vinavyotumika Nchini vinatoka kwa wazungu,lakini hakuna mtu aliyeacha kutumia vitu hivyo kwa madai ya kupata madhara yoyote au kifo,lakini chanjo ya Uviko 19 pekee.

“Kila mtu hapa amepata chanjo nyingi tangu amezaliwa,kondomu  za kiume zikiwekwa ofisi ya kijiji saa 12 jioni,kesho asubuhi zinakuwa zimeisha je,hizo hazitengenezwi na wazungu? kwanini mzungu akuue kwa sindano na sio kondomu? mbolea tunazotumia zinatoka kwa wazungu kwanini wasituue kupitia mbolea?dawa za kufubaza makali ya UKIMWI (ARV) zinatengenezwa na wazungu na wananchi wengi wanazitumia,kwanini hao wazungu wasiwaue kupitia dawa hizo?Wananchi wenzangu acheni visingizio kila mmoja apate chanjo kwa faida yake na familia yake”,alisema Mhe. Kasongwa.

Ametoa wito kwa wananchi wote kuchanja ili kuwa salama kwani Ugonjwa wa korona upo na watu wengi wanafariki kutokana na ugonjwa huo,hakuna mwanaume aliyechanja ameripoti kupungukiwa na nguvu za kiume wala kupata madhara yoyote.

Mhe. Kasongwa amesema kuwa Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawezi kuruhusu sumu itumike na watanzania,kwani mtaji wa kila mwanasiasa ni watu na Rais wetu amejiridhisha kuwa chanjo zote zinazoingizwa Nchini ni salama kwa afya za watu,ndiyo maana naye alichanja kudhihirisha kuwa hakuna madhara yoyote katika chanjo ya Uviko 19.

Kenneth Haule,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako pia amewataka wananchi wote kupata chanjo ya Uviko 19,kwani haina madhara yoyote na kila mwananchi anawajibu wa kupata chanjo hiyo kwa usalama wake na watu wengine,Serikali inawajali wananchi wote na ndiyo maana imeleta chanjohiyo bure ili kila mwananchi apate,hivyo kila mwananchi ambaye bado hajachanaja ahakikishe anapata chanjo.


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa