• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wanufaika wa TASAF acheni Uoga.

Tarehe iliyowekwa: February 23rd, 2023

Na. Lina Sanga

Wanufaika wa TASAF katika Mkoa wa Njombe wametakiwa kuupokea mradi wa parachichi ulioanzishwa kwa ajili ya kuwawezesha kuwa na kipato endelevu na kuacha uoga wa kuboresha maisha yao kwa hofu ya kutolewa TASAF.

Wito huo umetolewa leo na Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi kabla ya kugawa miche ya parachichi kwa wanufaika wa TASAF,Halmashauri ya Mji Makambako.

Mhe. Ndejembi amesema kuwa, Mradi wa TASAF uliopo sasa ulikuwa unaisha mwaka huu lakini jitihada za Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania muda wa utekelezaji wa mradi huo umeongezeka hadi mwaka 2025.

Amesema kuwa,ipo haja ya wanufaika wa TASAF kutambua kuwa lengo kuu la TASAF ni kuboresha maisha na kutokomeza umasikini,na baada ya muda Fulani ni lazima walionufaika waondolewe na kuingizwa wanufaika wapya ,lakini pia kuna kuisha kwa miradi ya TASAF hivyo hawana budi kuwa tayari kuendeleza miradi wanayopewa na kuboresha kipato chao.

Ameongeza kuwa,baadhi ya wanufaika wanadanganywa kuwa endapo watapanda parachichi watatolewa kwenye mpango wa TASAF,na wapo baadhi wanaibua vikwazo kwa kusingizia ukosefu wa mbolea na mahitaji mengine kutokana na uwoga wa kutolewa TASAF.

“Wanufaika wa TASAF acheni uoga wa kuboresha maisha yenu kwa kuhofia mtatolewa TASAF,hata ukipanda parachichi leo hutatolewa hadi kipato chako kitakapo boresheka,na mkumbuke kuwa nimewaambia mwaka 2025 mradi huu wa TASAF unaisha na wote mnatolewa,TASAF kwa mwaka unapata laki moja na elfu themanini,lakini mti wa parachichi baada ya miaka mitatu kila mti mmoja utakupa si chini ya laki mbili,narudia acheni uoga pandeni parachichi”,alisema Mhe. Ndejembi.

Aidha,ametoa pongezi kwa Uongozi wa Halmashauri ya Mji Makambako kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi ndani ya muda,pamoja na ushirikiano wa idara na idara katika utekelezaji wa miradi  wa pamoja na kumuagiza Mkurugenzi wa TASAF kumuandikia barua ya pongezi Mratibu wa TASAF wa Halmashauri ya Mji Makambako,Bi. Neema Chaula kwa usimamizi bora wa miradi.

Ametoa rai kwa watumishi wote kuwajibika kwa kutambua dhamana walizonazo na kutimiza wajibu,kushirikiana katika kutekeleza majukumu ,kufuata sheria,taratibu,kanuni na miongozo mbalimbali ya taaluma zao na ajira kwa ujumla na kutofanya kazi kwa mazoea.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa