• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ziara ya Mbunge wa Jimbo la Makambako kijiji cha Ikelu ,Mawande na Utengule.

Tarehe iliyowekwa: July 16th, 2021

Ni ziara ya Mh Mbunge wa jimbo la Makambako, Deo Sanga katika vijiji vitatu vya Halmashauri ya Mji wa Makambako ,vijiji hivyo ni pamoja na Kijiji cha Mawande ,Utengule na Ikelu.Katika ziara hiyo Mbunge Deo Sanga ameongozana na wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Makambako kwa lengo la kujibu maswali ambayo wananchi watahitaji ufafanuzi juu ya miradi inayoendelea katika maeneo yao hususani miundo mbinu ya Barabara ,Umeme ,Maji ,Afya, Elimu na mikopo kwa wanawake,vijana na watu wenye mahitaji maalumu.

Lengo la ziara ya Mbunge katika vijiji hivyo ni pamoja na kutembela na kuona maendeleo ya miradi pangwa ambayo serikali imetoa fedha kwaajili ya wananchi na kuona fedha ambavyo zinafanya kazi, kusikiliza kero za wananchi ambazo zitajiiwa na wataalamu wa Halmashauri kwa ufafanuzi zaidi,kutoa mrejesho wa bajeti ya mwaka 2021/2022 na kuona maendeleo ya fedha ambazo amekuwa akitoa kama mchango wake katika maendeleo, Je zinafanyiwa kazi vizuri hasa katika kuleta maendeleo kwa wananchi wa vijiji hivyo..Aidha Katika ziara hiyo mbunge amapokea tarifa ya maandeleo ya vijiji hivyo  hasa kwa kuorodhesha michango mbalimbali iliyotolewa na mbunge, Serikali na nguvu za wananchi kwa kuanza na kijiji cha: 

Utengule :Jumla ya fedha ni shilingi 26704000 kwa kuanza mwaka 2015 mpaka sasa fedha hizo zimetumika katika  ununuzi wa vifaa vya ujenzi katika kanisa la kilutheri ,vifaa vya michezo  usafirishaji wa trip za mchanga katika ujenzi na ukatabati wa shule ya msingi Utengule ,Nyumba ya mwalimu Ununuzi wa mbao ,mifuko ya saruji ,ulipaji mafundi katika ujenzi wa zahanati ,mbao misumari ,Gegi thelathini,,kenchi ,Bati na koa ,na kuchangia fedha kwaajili ya kuingiza umeme katika shule ya msingi lungwa kwa ofisi moja madarasa mawili na nyumba nane za walimu katika shule hiyo. 

Kijiji cha Mawande kwa kipindi cha miaka mitano Mbunge Deo sanga ametoa kiasi cha shilingi 5130000 (Milion tano laki moja na elfu thelathini ambazo zimetumika katika ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mawande ,vifaa vya michezo ,upauaji wa nyumba ya mwalimu ,utengenezaji madawati ,ukarabati wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Mawande  pamoja nakutoa gari la kusaidia ujenzi wa ofisi ya serikali ya kijiji cha Mawande.

katika kiji cha ikelu vile vile mchango wake mkubwa katika miradi ya maendeleao hususani vifaa vya michezo kwa vijana na shule ya msingi ikelu na nyambogo aidha  katika upande wa afya mbali na kuwa kwa sasa tayari wananchi wameanza kujenga kituo cha afya  ,lakini pia ametoa sinki moja la choo kwaajili ya watoto wenye ulemavu shule ya msingi Ikelu na kuahidi kuwasaidia vijana kasa wanaojihusisha na masuala ujasiriamali pamoja na kutoa mifuko hamsini ya saruji kwaajili ya ujenzi wa shule shikizi katika kijiji hicho.

Kwa pamoja katika ziara hiyo kwa vijiji hivyo vitatu mbali na kutoa vitu vya maendeleao kwa idara ya Elimu, afya, vifaa vya michezo kwa vijana na tofali kwaajili ya mwendelezo wa ujenzi wa ofisi ya kijiji cha Mawande amesisitiza suala la kudumisha upendo, amani na kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais wa awamu ya sita Samiah Suluhu hassan na zaidi kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kuchukua tadhari juu ya janga la ungonjwa wa Corona.

 

 

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa