Tarehe iliyowekwa: August 22nd, 2020
Mkuu wa wilaya ya Njombe Bi Ruth Msafiri ,Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Makambako Paul Malala na idara mbalimbali za Halmashauri ya Mji Makambako wakikagua Mwonekano wa ndani wa Bweni l...
Tarehe iliyowekwa: August 22nd, 2020
Mwonekano wa nje wa Bweni la Wavulana Shule ya secondari Mtimbwe lililofunguliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Njombe bi Ruth Msafiri, kwa lengo la kuwasaidia Wanafunzi kuwa salama wawapo shuleno h...
Tarehe iliyowekwa: August 22nd, 2020
Wanafunzi wa shule ya sekondari Mtimbwe wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Njombe katika ufunguzi Rasmi wa Bweni la wavulana katika shule hiyo ,Ambapo Mkuu wa wilaya aliwasihi Wanafunzi kutumuia muda wao...